1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makamu wa Rais wa Zanzibar azungumzia umoja wa kitaifa

Mohammed Khelef
3 Mei 2024

Wakati hatima ya ushiriki wa mshirika mdogo kwenye serikali ya umoja wa kitaifa visiwani Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ikining'inia baina ya kubakia na kutoka, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman, anazungumza na Mohammed Khelef wa DW kuhusu uhalisia wa mambo ulivyo.

https://p.dw.com/p/4f5D1