1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, Marekani na Israel zimefanikiwa kufikia malengo katika vita na Iran?

Josephat Charo
27 Machi 2026

Marekani na Israel zinatumia nguvu kubwa ya kijeshi dhidi ya Iran na hadi kufikia sasa uhabirifu mkubwa umeshuhudiwa. Maswali mengi yameibuka kuhusu vita hivi ikiwa kweli kuna tija yoyote. Jiunge na Josephat Charo katika kipindi cha Maoni mbele ya meza ya duara.

https://p.dw.com/p/5BFyL