1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

China na Marekni katika vita vya kibiashara

6 Julai 2018

China na Marekani zimeingia kwenye vita kali vya kibiashara.China inasema Marekani imepuliza kipyenga cha kufungua vita kubwa vya kibiashara duniani kwa kuchukua hatua ya kutoza ushuru mkubwa bidhaa zake za thamani ya dolla bilioni 34.Rais Trump asema yuko tayari kuongeza hata zaidi bidhaa za kutozwa ushuru za China ikiwa China itaendelea kuwa mbishi kwa kulipiza kisasi

https://p.dw.com/p/30xVZ