SiasaBemba atangaza kuwania uraisTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette25.07.201825 Julai 2018Kiongozi wa zamani wa waasi na makamu wa rais katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo Jean-Pierre Bemba amesema kwamba anaamini kuwa atakuwa mgombea bora kuuwakilisha upinzani katika uchaguzi wa rais wa mwezi Desemba.https://p.dw.com/p/323hZMatangazo