1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

AFCON: Historia, Mashujaa na Hadithi Mpya zaandikwa

2 Januari 2026

Tanzania,na Msumbiji zimeandika historia kwa kutinga 16 bora AFCON, Sudan ikibadilisha kabisa taswira ya vita na soka la Afrika. Wakati mafanikio haya yakishangiliwa, Gabon imezua sintofahamu kwa kufuta timu yake ya taifa. Ni msimu wa mabadiliko makubwa na maswali mazito kuhusu mustakabali wa kandanda barani. Zaidi msikilize mchambuzi wa michezo Hassan Ali.

https://p.dw.com/p/56EgE
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild I Kinderarbeit in Honduras
Picha: Rafael Ochoa/Photoshot/picture alliance

Michezo