Bunge la Marekani lapitisha mswada kuepusha mkwamo wa shughuli za Serikali huku Rais Donald Trump akiapa kutangaza hali ya hatari ili aweze kujenga ukuta mpakani//Rais wa Venezuela Nicolas Maduro asisitiza haachi madaraka na kuitaja misaada ya Marekani kuwa Makombo//Watoto 300 wanakufa kila siku katika nchi zenye mizozo.