SiasaTaarifa ya Habari ya asubuhi 14.07.2019To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSylvia Mwehozi14.07.201914 Julai 2019Uingereza yasema itasaidia kuachiwa kwa meli yake ya mafuta inayoshikiliwa Gibraltar. Waandamanaji Sudan wadai haki kwa ajili ya watu waliouwa mwezi Juni. Na rais Macron atangaza kuundwa kwa jeshi jipya la anga za juu. https://p.dw.com/p/3M37XMatangazo