Mchezaji wa Gladbach Alassane Plea anaendelea kufunga magoli na hata baada ya mechi dhidi mabinghwa Bayern Munich. Raia huyo wa Ufaransa mwenye asili ya Mali alipiga daluga lililomfanya mlinda lango Neuer akamate upepo. Zaidi mtazame katika vidio ya kila Jumatatu.