Makala ya Sura ya Ujerumani leo hii inaangazia historia ya ukoloni wa Ujerumani na kukujuza kuhusu harakati zinazoendelea sasa katika nchi za Afrika za kuitaka Ujerumani kuwajibika kutokana na uhalifu huo wa kipindi cha ukoloni. Makala hii imeandaliwa na Antonio Cascais na kutafsiriwa na Harrison Mwilima.