Hali ya taharuki ilitanda mapema hii leo katika kivuko cha likoni huko mjini Mombasa nchini Kenya baada ya ferry kadhaa kupata matatizo ya kimitambo na kukwama.
https://p.dw.com/p/Ej8V
Matangazo
Maelfu ya watu wanaosafiri kupitia eneo hilo walilazimika kukaa kwa muda wa saa sita kutokana na matatizo hayo.
Mengi zaidi anaarifu mwandishi wetu Eric Ponda kutoka Mombasa.