1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni ya DW Kiswahili: 10.07.2021

10 Julai 2021

Serikali ya mpito ya Haiti yasema imeiomba Marekani kupeleka wanajeshi wake nchini humo kulinda miundo mbinu muhimu, Polisi nchini Bangladesh yawakamata watu wanane kwa mashtaka ya mauaji yanayohusiana na moto uliozuka katika kiwanda kimoja na kuwauwa kiasi cha watu 52 na bomu lililotegwa ndani ya gari lawauwa watu wanane mjini Mogadishu nchini Somalia

https://p.dw.com/p/3wJYO