1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani yaanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran

Sylvia Mwehozi
7 Agosti 2018

Marekani yaiwekea tena Iran vikwazo, na kurudisha adhabu kali ambazo ziliondolewa kufuatia mkataba wa kihistoria wa nyuklia. Iran yasema hivyo ni vita vya kisaikolojia na kutaka kuligawa taifa hilo. Papo kwa Papo 07.08.2018.

https://p.dw.com/p/32jrI