SiasaMarekani yaanza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSylvia Mwehozi07.08.20187 Agosti 2018Marekani yaiwekea tena Iran vikwazo, na kurudisha adhabu kali ambazo ziliondolewa kufuatia mkataba wa kihistoria wa nyuklia. Iran yasema hivyo ni vita vya kisaikolojia na kutaka kuligawa taifa hilo. Papo kwa Papo 07.08.2018. https://p.dw.com/p/32jrIMatangazo