Kiongozi wa kikundi cha Mungiki nchini Kenya aachiwa huru
26 Oktoba 2009Matangazo
Grace Kabogo alizungumza na Cyrus Jirongo, kiongozi wa chama cha siasa cha KADDU na Mbunge wa Jimbo la Lugari, Kenya, na alianza kumuuliza nini maoni yake kuhusu uamuzi huo wa mahakama wa kumuachia huru kiongozi huyo wa Mungiki.
Mtayarishi: Grace Patricia
Mhariri: M.Abdul-Rahman