Kanali wa zamani wa Kijeshi Theoneste Bagosora ahukumiwa kifungo cha maisha kwa mauaji ya halaiki nchini Rwanda
18 Desemba 2008Matangazo
Yapata watu laki nane wanaripotiwa kuuawa kikatili katika kipindi cha siku 100.
Bagosora anakabiliwa na mashtaka 11 ya uhalifu wa kivita,mauaji ya halaiki na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Mwandishi wetu wa Arusha Nikodemus Ikonko alikuwako mahakamani na ametuandalia taarifa ifuatayo.