MigogoroMashariki ya Kati
Israel: Tunarejea kwenye usitishaji mapigano Ukanda wa Gaza
30 Oktoba 2025
Matangazo
Miongoni mwa waliouwawa ni wanawake na watoto 66 kulingana na mamlaka za ukanda huo. Mashambulizi hayo ndiyo makubwa zaidi tangu yalipoanza kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita Oktoba 10.
Israel, Hamas zashutumiana kukiuka makubaliano ya kusitisha vita
Israel ilianza kufanya mashambulizi kwa madai kuwa kundi la Hamas lilikiuka makubaliano hayo. Hata hivyo kundi hilo limekanusha na kusema Israel ndiyo iliyokiuka makubaliano.