Sikiliza Kipindi cha Afrika katika Magazeti ya Ujerumani ambapo baadhi ya mada ni pamoja na Vinyago vya Afrika, matumizi ya nguvu ya Boko Haram nchini Nigeria na mzozo kati ya wachimba dhahabu na wanajeshi wa Tchad katika milima ya Tibesti. Msimulizi ni Oumilkheir Hamidou.