1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wajerumani wengi wakubaliana na vikwazo vya corona

17 Desemba 2020

Wananchi wa Ujerumani kwa kiasi kikubwa wanaunga mkono masharti mapya yaliyoanza kutekelezwa Jumatano ili kupambana na maambukizi ya virusi vya corona yaliyoongezeka nchini humo. Utafiti uliofanywa na YouGov umeonyesha asilimia 73 ya wajerumani wanaunga mkono uamuzi wa kufungwa kwa baadhi ya shughuli pamoja na shule. #KurunziUjerumani

https://p.dw.com/p/3mrsA