1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi duniani walaumu uvamizi wa majengo ya bunge na seneti nchini Marekani

Saleh Mwanamilongo
8 Januari 2021

Hatua ya mamia ya wafuasi wa rais wa Marekani Donald Trump kuyavamia majengo ya Bunge la Marekani, maarufu kama Capitol Hill mjini Washington, imesababisha maoni mengi kutolewa kote duniani. #Kurunzi 07/01/2021

https://p.dw.com/p/3ngDC