1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uwakilishi wa wanawake kiuongozi wapungua

Lilian Mtono
25 Januari 2018

Kulikoni wakati huu kunaibuka tena wasiwasi wa uwakilishi wa wanawake kwenye vyombo vya maamuzi? Hata baraza la mawaziri la rais mpya wa Liberia George Weah halina mwanamke hata mmoja. Mwanaharakati Edda Sanga aliyeko nchini Tanzania anatoa maoni yake.

https://p.dw.com/p/2rSmW