1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uteuzi wa Barrett umepokelewa vipi na Wamarekani?

Babu Abdalla Mohamed Zingo28 Septemba 2020

Rais wa Marekani Donald Trump amemteua Jaji Mhafidhina wa jimbo la Indiana Amy Coney Barrett kuchukua nafasi ya hayati Ruth Bader Ginsburg katika mahakama kuu. Hata hivyo, uteuzi wake umetiliwa mashaka na Wademocrat wanaosema mshindi wa urais wa Novemba 3 ndiye anapaswa kufanya uteuzi huo. Mchambuzi wa siasa Nicholas Boaz anatoa tathmini yake kuhusu suala hilo akihojiwa na Babu Abdalla.

https://p.dw.com/p/3j7hA