Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan azungumza na vijana mjini Mwanza. +++Uganda yaripoti ongezeko la vifo vinavyotokana na Covid19. +++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mshirika wa karibu wa rais Tshisekedi Vital Kamerhe ahukumiwa miaka 13 jela. ++++Zambia yampoteza shujaa na mwasisi wa taifa hilo Kenneth kaunda.