SiasaRais Museveni afanya ziara ya siku moja TanzaniaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSylvia Mwehozi09.08.20189 Agosti 2018Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amekutana na kufanya mazungumzo na rais wa Tanzania John Magufuli katika ziara yake ya siku moja aliyoifanya nchini Tanzania. Papo kwa Papo 09.08.2018. https://p.dw.com/p/32tkZMatangazo