1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 29.10.2017

Yusra Buwayhid
29 Oktoba 2017

Maelfu waandamana mjini Barcelona kulitaka jimbo la Catalonia libaki kuwa sehemu ya Uhispania. Rais Hassan Rouhani asema Iran itaendelea kutengeneza makombora kwa ajili ya ulinzi wa nchi. Kiongozi wa upinzani nchini Kenya raila Odinga ataka kuitishwe uchaguzi mpya ndani ya siku 90 zijazo.

https://p.dw.com/p/2mhzM