1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Dhima ya Afrika katika vita vya nchini Ukraine

Josephat Charo19 Mei 2023

Mataifa ya Afrika yameonyesha mitazamo tofauti juu ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Baadhi ya mataifa hayo yamepiga kura ya kutofungamana na upande wowote katika vita hivyo. Josephat Charo anaongoza Maoni mbele ya meza ya duara ambapo anajadili juu ya jukumu la Afrika katika kutafuta suluhu ya mzozo kati ya Moscow na Kiev.

https://p.dw.com/p/4RaoX