1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sheria na HakiAfrika

Je, Ulaya inapaswa kulipa kwa utumwa wa Atlantiki?

Michael Kwena
26 Machi 2026

Ghana inataka Umoja wa Mataifa utangaze biashara ya watumwa ya Atlantiki kuwa uhalifu mbaya zaidi katika historia ya binadamu. Lakini kadri madai ya fidia yanavyoongezeka, viongozi wa Ulaya wanaanza kupinga.

https://p.dw.com/p/5BA4g