1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BioNTech yaongeza uzalishaji wa chanjo dhidi ya COVID-19

1 Aprili 2021

Video hii itakupeleka moja kwa moja hadi ndani ya jengo moja la kawaida katika mji wa Marburg lililo kaskazini magharibi mwa Ujerumani, ambako utaona mfanyakazi wa kampuni ya dawa ya BioNtech anavyotengeneza chanjo aina ya mRNA, inayotumika kuwakinga watu dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Ni kazi inayohitaji umakini mkubwa!

https://p.dw.com/p/3rUzn