1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.10.2019 - Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S12 Oktoba 2019

Vikosi vya Uturuki vinasonga mbele kwenye operesheni ya kijeshi dhidi ya wakurdi nchini Syria. China na Marekani zimefikia makubaliano ya awali ya kutisitisha vita vya kibiashara. Boris Johnson atawaomba wabunge waridhie makubaliano yoyote ya Brexit.

https://p.dw.com/p/3RAoo