1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.11.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
6 Novemba 2025

Waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Afrika wasema uchaguzi mkuu wa Tanzania ulikumbwa na mapungufu ya uadilifu. Marekani yatishia kutokuunga mkono ujumbe wa amani wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Abyei, Na Israel yapokea mwili wa mateka mwingine wa Gaza.

https://p.dw.com/p/53AIw