1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.06.2018: Taarifa ya Habari Saa 12:00 (Afrika Mashariki)

3 Juni 2018

Miongoni mwa yaliyomo ni pamoja na Waziri wa Ulinzi wa Marekani Jim Mattis, amesema Korea Kaskazini haitaondolewa vikwazo hadi pale itakapochukua hatua za kuthibitika za kumaliza silaha za nyuklia. //Ndege za vita za Israel zimeshambulia maeneo 10 ndani ya Gaza kama jibu kwa roketi zilizorushwa na Wapalestina.// Mawaziri wa fedha wa G-7, wamtaka Rais Donald Trump kuepusha vita vya kibiashara

https://p.dw.com/p/2yrPf