JamiiAfrikaZainab Ansell- Mwanamke anayeng´ara sekta ya Utalii TanzaniaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrika05.10.20225 Oktoba 2022Zainab Ansell ni miongoni mwa wanawake wanaotajwa kuwa na mafanikio katika sektaya Utalii nchini Tanzania. Aliwekeza katika usafirishaji wa watalii na mahoteli na mwaka huu ametwaa tuzo ya Mtembezaji Bora wa Utalii Tanzania kwa mwaka 2022. https://p.dw.com/p/4HnhBMatangazo