1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Yaliyogonga vichwa vya habari kwenye Afrika Wiki Hii

Amina Mjahid2 Juni 2023

Karibu kwenye kipindi kinachoangazia baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari barani Afrika wiki hii, ikiwa ni pamoja na Bola Ahmed Adenkuhnle Tinubu kuapishwa rasmi kuwa rais mpya wa Nigeria, mkutano wa kilele wa viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu amani ya DRC na rais Yoweri Museveni kutia saini sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja.

https://p.dw.com/p/4S8H4