1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umauzi wa mahakama kumtia Derek Chauvin hatiani wapongezwa

21 Aprili 2021

Maelfu ya watu Marekani wamepongeza uamuzi wa majaji 12 ambao umemtia hatiani polisi wa zamani wa Minneapolis kuhusiana na kifo cha Mmarekani Mweusi George Floyd. Hata hivyo wanasema safari ya kutafuta haki kamili bado ni ndefu.

https://p.dw.com/p/3sL2X