Urusi yaanzisha tena mashambulizi yake katika eneo la Donbass Mashariki mwa Ukraine, kampuni ya nishati ya Urusi Gazprom yailaumu kampuni ya Ujerumani siemens kwa kukosekana kwa sehemu muhimu ya mtambo unaohitajika kuanzisha tena usambazaji wa gesi asilia barani Ulaya na mkutano wa G20 nchini Indonesia wakamilika bila ya tamko rasmi