1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi o7.11.2018

Sylvia Mwehozi
7 Novemba 2018

Matokeo ya kwanza ya uchaguzi wa Marekani yameanza kutolewa. Wakili aliyekuwa akimtetea mwanamke wa kikristo nchini Pakistan anayetuhumiwa kukufuru dini, aomba hifadhi nchini Uholanzi. Mamilioni ya watu nchini Madagascar leo wanapiga kura kumchagua rais.

https://p.dw.com/p/37mhy