1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki)

Daniel Gakuba
30 Novemba 2018

https://p.dw.com/p/39At4

Aliyekuwa mwanasheria binafsi wa Rais Donald Trump wa Marekani amekiri mahakamani, kwamba alilidanganya bunge.
Ndege ya Kansela wa Ujerumani Angela Merkel yaahirisha safari baada ya kupatwa na hitilafu za kiufundi angani.
Uvumi na wasiwasi kuhusu afya ya Rais wa Gabon Ali Bongo waendelea, wakati akiripotiwa kupelekwa Morocco kwa matibabu zaidi.