1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 30.10.2017

30 Oktoba 2017

Polisi wa Catalonia wamesema kiasi ya watu 300,000 walishiriki katika maandamano yaliyofanyika Barcelona katika kuunga mkono umoja wa kitaifa//Afisa wa ngazi ya juu wa usalama Kenya amemshutumu kiongozi wa upinzani, Raila Odinga kwa kuchochea ghasia na kuwashambulia polisi//Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amesisitiza umuhimu wa kufanya mazungumzo na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un.

https://p.dw.com/p/2miek