1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtafaruku wa sikukuu ya Eid al-Adha

21 Agosti 2018

Wakati dunia ikiadhimisha sikukuu ya Waislamu ya Eid al-Adha bado kumekuwa na mvutano ipi hasa siku mahususi kwa kufanikisha siku hii. Nini kifanyike na kwanini tofauti kama hizi zimeendelea kuwepo miongoni mwa Waislamu? zaidi itazame vidio ya Ahmed Juma wa Dar es Salaam.

https://p.dw.com/p/33U1E