1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 13.03.2022

Sylvia Mwehozi
13 Machi 2022

Vikosi vya Urusi vyashambulia kituo kikubwa cha kijeshi cha Ukraine karibu na mpaka na Poland. Viongozi wa Uturuki na Ugiriki kukutana leo juu ya vita ya Ukraine. Na kampuni ya gesi ya Urusi yasema itaendelea kusafirisha nishati hiyo kulingana na mkataba licha ya vita inayoendelea.

https://p.dw.com/p/48PcP