1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 05.01.2019

Yusra Buwayhid
5 Januari 2019

Mazungumzo kutatua mkwamo katika shughuli za serikali ya Marekani yataendelea leo. Maafisa wa Ujerumani walaumiwa kwamba walikuwa na taarifa kuhusu udukuzi wa data za wanasiasa akiwamo kansela Angela Merkel. Na, jumuiya ya kimataifa yaionya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuheshimu matokeo ya uchaguzi yakiwa bado yanangojwa kutangazwa.

https://p.dw.com/p/3B4Fi