SiasaMarekani yaongoza uuzaji silahaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaMohammed Khelef09.12.20199 Desemba 2019Je, wajuwa kwamba 83% ya silaha zote duniani zinatokea Marekani na Ulaya Magharibi, na kwamba Marekani pekee inatoa 59% ya silaha hizo? Nini mchango wa silaha kwenye amani na machafuko ya dunia? Kurunzi 09.12.2019https://p.dw.com/p/3UTgwMatangazo