Mbunge wa zamani wa jimbo la Singida Mashariki kutokea chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana, amesema hakuna mazingira ya kuzungumzia masuala ya kisiasa ndani ya Tanzania. Mwanasiasa huyo ametowa kauli hiyo akiwa mjini Berlin, Ujerumani. Zaidi sikiliza mahojiano haya aliyofanyiwa na Harrison Mwilima.