1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dhana na uhalisia wa Kiswahili kama lugha ya kwanza Kenya

Mohammed Khelef23 Julai 2015

Kiswahili ni lugha rasmi nchini Kenya kama kilivyo Kiingereza lakini vipi kuhusu uhalisia mitaani na kwenye maisha ya kila siku ya Wakenya? Je, wanakitambua na kukichukulia Kiswahili hivyo?

https://p.dw.com/p/1G3k4