Matangazo
Kesi hiyo imeanza kwa mawakili wa upande wa utetezi kumuhoji shahidi wa pili wa upande wa mashtaka Justine Eliya Kaaya. Babu Abdalla amezungumza na mwandishi wetu wa Dar es Salaam George Njogopa ambaye anafuatilia kesi hiyo na kwanza anaelezea kitu kinachoendelea mahakamani.