Kenya yarejea kwenye jukwaa la kimataifa la filamu
Mtindo wa maisha
Sudi Mnette
16 Oktoba 2023
Kwenye Karibuni leo, Sudi Mnette anamkaribisha mkuu wa usalama mahala pa kazi nchini Tanzania na pia anazungumzia filamu ya Kiswahili kutoka Kenya ambayo imeingia kwenye kuwania tuzo ya kimataifa ya Oscar.