Ijue historia ya Ujerumani katika jiji la Mwanza kupitia mwamba wa jiwe la Bismack. Mwamba huo uliopo ndani ya ziwa Victoria katika eneo la Kamanga Feri ulipewa jina la kansela wa kwanza kabisa wa Ujerumani Otto Von Bismarck. Swali ni je kwa nini jina la kansela Bismarck katika Mwamba huu? Tazama video hii upate majibu yako.