Baada mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Professa Lipumba kufanya mkutano wake leo huko Zanzibar, upande unaoongozwa na Katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif Shariff ambao haumtambui Lipumba kuwa Mwenyekiti umezungumza. Zaidi msikilize Salim Bimani katibu wa uenezi alipozungumza na Jacob Safari.