1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Changamoto za wasichana wapiga picha nchini Tanzania

22 Septemba 2021

Tasnia ya upigaji picha Tanzania ni miongoni mwa tasnia zilizokuwa na upungufu wa wafanyakazi wa jinsia hiyo. Lakini hawa wasichana wamepewa mafunzo maalum ya upigaji picha ilikukamilisha ndoto zao. #KurunziWanawake

https://p.dw.com/p/40fbY