Siasa07.05.2026 - Taarifa ya Habari ya AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSuleman Mwiru07.05.20267 Mei 2026Israel yamuua kamanda wa Hezbollah, huko Beirut++Serikali ya Chad yatangaza maombolezo ya kitaifa baada ya shambulio la Boko Haramu lililowaua wanajeshi++ Na katika michezo, PSG kuccheza na Arsenal katika mchezo wa fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. https://p.dw.com/p/5DO94Matangazo