You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Suleman Mwiru
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Suleman Mwiru
Taarifa zilizoonesha na Suleman Mwiru
Haya ni mambo muhimu ambayo Uturuki inazingatia Afrika
Uturuki inapanga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi katika uso wa dunia na zaidi barani Afrika.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Suleman Mwiru
Taarifa na Suleman Mwiru
Hotuba ya Netanyahu katika bunge la Marekani ilipokelewaje?
Hotuba ya Netanyahu katika bunge la Marekani ilipokelewaje?
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akilihutubia bunge la Marekani Jumatano alisema Israel na Marekani ni lazima ziungane kuumaliza "unyama." Kuiangazia hotuba ya Netanyahu katika bunge la Marekani Suleman Mwiru amezungumza na Ahmed Rajab, mchambuzi wa siasa za kimataifa na kwanza alitaka kujua tathmini yake kuhusu mapokezi ya Benjamin Netanyahu.
Ruto kuwajumuisha wapinzani serikalini ni kutapatapa?
Ruto kuwajumuisha wapinzani serikalini ni kutapatapa?
Rais wa Kenya William Ruto Jumatano alitangaza awamu ya pili ya baraza lake la mawaziri ambalo limewajumuisha wanasiasa wa vyama vya upinzani. Awali rais huyo wa Kenya alipinga kuhusu serikali ya kile kinachoitwa "nusu mkate" lakini kwa sasa amewajumuisha wanasiasa hata wale walikokuwa wakimpinga na kumkejeli waziwazi. Suleman Mwiru amezungumza na Herman Manyora.
Jeshi la Bangladesh laingia mtaani kuwadhibiti waandamanaji
Jeshi la Bangladesh laingia mtaani kuwadhibiti waandamanaji
Tovuti za serikali na magazeti yameshindwa kuchapisha taarifa kutokana na kizuizi cha mtandao kote nchini humo.
Scholz ashiriki maadhimisho ya miaka 80 ya kumpinga Hitler
Scholz ashiriki maadhimisho ya miaka 80 ya kumpinga Hitler
Kansela Olaf Scholz amesema demokrasia ya Ujerumani inategemea juhudi za kila mmoja bila kuchoka.
Takriban watu 40 wamekufa katika boti ya wahamiaji Haiti
Takriban watu 40 wamekufa katika boti ya wahamiaji Haiti
Karibu nusu ya wakaazi milioni 11 wa Haiti wanakabiliwa na njaa huku nusu milioni ya Wahaiti wamegeuka kuwa wakimbizi.
Polisi Bangladesh watoa amri mpya ya kutotoka nje
Polisi Bangladesh watoa amri mpya ya kutotoka nje
Amri hiyo ya kutotoka nje inafuatia baada ya maandamano yaliyopelekea vifo vya zaidi ya watu 100 na mamia wakijeruhiwa.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo