1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa Umoja wa Ulaya waafikiana kuhusu uhamiaji

29 Juni 2018

Viongozi wa Umoja wa Ulaya hatimaye wamefikia makubaliano juu ya mpango mgumu wa uhamiaji, unaozitaka nchi wanachama kwa hiari kuanzisha vituo vya udhibiti katika ardhi yake vya kushughulikia wahamiaji waliookolewa baharini wakati pia wakichunguza uwezekano wa kufungua vituo nje ya Ulaya.

https://p.dw.com/p/30X2A